
Wafurushwa nyumba za IPTL bila stahiki
Haki inatakiwa kutendeka na kuonekana inachukua mfumo wake baada ya kukamilishwa kwa ahadi na makubaliano. Kinyume chake ni uonevu.
Habari za hivi punde kutoka Tanzania na dunia.

Haki inatakiwa kutendeka na kuonekana inachukua mfumo wake baada ya kukamilishwa kwa ahadi na makubaliano. Kinyume chake ni uonevu.

Sasa ni rasmi kwamba Deogratius Ndejembi ni Makamu wa Rais wa Tanzania, baada ya kuapishwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Ikulu, Chamwino, Dodoma.

Vitendo vya watu kutekwa, kuteswa na wengine kupotezwa, vinatajwa kuwa vinadhalilisha utu na hayo yamekemewa pia na Mwanazuoni Profesa Issa Shivji.

Mbunge Musukuma amemsifia makamu wa rais mteule, Deogratius Ndejembi kuwa ni kiongozi mahiri ambaye anapanda vyeo bila "kuumiza wenzake."

Baada ya kuteuliwa na vikao vya juu vya CCM, hatimaye leo Bunge linamthibitisha Deogratius Ndejembi kuwa makamu wa rais.

Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kutangaza mabadiliko ya baraza lake la mawaziri.

Rais Samia amefanya mabadiliko katika safu ya wakuu wa mikoa na makatibu tawala wa mikoa kadhaa.

Jina la Deogratius Ndejembi limepitishwa na vikao vya juu vya CCM kupelekwa bungeni kwa ajili ya kuidhinishwa ili kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania baada ya Dkt. Emmanuel Nchimbi kuachia ngazi

Kujiuzulu kwa aliyekuwa Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi kumempa 'ulaji' Deogratius Ndejembi.

Kesi ya uhaini inayomkabili Tundu Lissu inaendelea leo Mahakama Kuu, Dar es Salaam, ambapo mbele ya majaji watatu amehoji uaminifu wa baadhi ya mashahidi wa Jamhuri.

Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kujiuzulu kwa makamu wake, Dkt. Emmanuel Nchimbi

TAARIFA za Makamu wa Rais, Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kujiuzulu nafasi yake zimetikisa mitandao ya kijamii nchini Tanzania.

SERIKALI kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA), imeanza uchunguzi wa tukio la kulipuka kwa mashine ya kitabibu inayotumia miale ya Xray na teknolojia ya kompyuta kupiga picha ndani ya mwili wa binadamu (CT-Scan), kwenye Hospitali ya Aga Khan ya mjini Dar es Salaam.
Habari fupi kutoka pembe mbalimbali za dunia.

Habari fupi kutoka pembe mbalimbali za dunia.
Habari fupi kutoka pembe mbalimbali za dunia.