
Sakata la Wakili Fatma Karume – VI
KATIKA sehemu ya tano tuliona jinsi Mahakama Kuu ilivyokataa kumpa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ruhusa (leave) ya kukata rufaa kwenda Mahakama ya Rufani dhidi ya uamuzi uliokuwa umemtendea haki Fatma Karume.
Makala ya kina ya ndani na ya kimataifa.

KATIKA sehemu ya tano tuliona jinsi Mahakama Kuu ilivyokataa kumpa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ruhusa (leave) ya kukata rufaa kwenda Mahakama ya Rufani dhidi ya uamuzi uliokuwa umemtendea haki Fatma Karume.

MOBUTU Sese Seko Kuku Ngwendu Wazambanga aliwahi kuwa Rais wa Zaire, ambayo sasa inaitwa Jamhuri ya Kidemokrasia na Congo – DRC.
KATIKA sehemu ya tatu tuliona jinsi Kamati ya Maadili ya Mawakili ilivyomkuta Wakili Fatma Karume na hatia ya utovu mkubwa wa nidhamu na kuamuru afutwe kabisa kwenye Daftari la Mawakili.
AGOSTI 10, 2026, Rais Samia Suluhu Hassan aliketi mezani Ikulu ya Chamwino, Dodoma pamoja na viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).
IDADI kubwa ya watu huitazama na kuipa tafsiri eSwatini kupitia nyuso tatu zenye tabasamu; Mfalme Mswati III, Mama Malkia LaTfwala na Waziri Mkuu Russell Dlamini.
PROFESA Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji), amesema kuwa Tanzania imepunguza kwa kiwango kikubwa utegemezi wa misaada ya nje, hivyo kusitishwa au kuwekwa masharti kwenye misaada hakutakuwa na athari kubwa kama ilivyokuwa zamani.
KATIKA sehemu ya pili tuliona jinsi Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Tanzania alivyofungua shauri mbele ya Kamati ya Maadili ya Mawakili akiiomba imvue kabisa uwakili Fatma Karume.
UWEKEZAJI na maboresho yanayoendelea katika Bandari ya Dar es Salaam na bandari nyingine nchini tayari “mavuno” yake yameanza kuonekana.
Project Sunrise ya Qantas yatimia baada ya miaka kumi ya majaribio; safari ya kilometa 23,075 bila kutua.